Polisi yapiga marufuku silaha kwa Mkapa kesho

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro,

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema halitaruhusu mtu yeyote kwenda na silaha ya aina yoyote kesho uwanjani kwenye mechi ya Simba na Yanga isipokuwa vyombo vya dola vyenye jukumu la kulinda usalama eneo hilo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS