Mapendekezo sio amri kwa serikali-Rais Samia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema serikali itapanga vikosi kadhaavya watunga sheria kuangalia siasa na katiba na huenda wengine wakatoka katika kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni ya wadau kuhusu demokrasia ya vyama vingi nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS