Chelsea Yapewa asilimia 51 kushinda UEFA Conf
Tovuti ya takwimu za mpira wa Miguu Duniani (OPTA ANALYST) imeipatia Chelsea asilimia 51.1% za kushinda taji la UEFA Conference League ndani ya dakika 90 dhidi ya Real Betis hapo kesho Jumatano Uwanja wa Tarczyński, nchini Poland majira ya Saa nne kamili usiku.