Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Prudenciana Protas akizungumza na waandishi hawapo pichani.
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya Mji wa Njombe wakiwa kwenye kikao cha baraza hilo hivi karibuni.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.