Baadhi ya Wachimbaji wadogo wadogo wakiendelea na shughuli zao za kusaka Dhahabu katika eneo waliloachiwa wachimbaji hao eneo la Mgusu,wilayani Geita
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013