Mayweather akinyoosha juu mkono kama ishara ya ushindi muda mfupi baada ya pambano hilo kufikia mwisho.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013