Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, Tiagi Masamaki (katikati) na washitakiwa wenzake wakitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam

4 Dec . 2015

Mkuu wa Chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akimtunuku mmoja wa wahitimu.

27 Nov . 2015

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Jaji Shaban Lila

27 Nov . 2015

Sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam

26 Nov . 2015

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake.

25 Nov . 2015

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Wilbroad Mtafungwa

19 Nov . 2015

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Dk. Ramadhani Kailima, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria NEC Bw. Emanuel Kawishe Wakizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani.

18 Nov . 2015

Baadhi ya watoto wachanga waliozaliwa Njiti katika hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam( PICHA NA MAKTABA)

18 Nov . 2015

Spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Hussein Mwinyi.

30 Jun . 2015