Mkuu wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishna wa polisi Suleiman Kova.
Msemaji wa jeshi la polisi nchini Tanzania, Advera Senso.
Mkuu wa polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu. Ofisi yake imetakiwa kueleza alipo rais wa jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini TAHLISO Musa Mdede, vinginevyo wanafunzi hao wataitisha mgomo wa nchi nzima.
Mkuu wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova.
Kamishna wa makosa ya jinai Tanzania Isaya Mngulu




