Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.

24 Mar . 2016

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.

13 Dec . 2015

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu wanataraji kuja nchini na timu yao ya TP Mazembe ya Congo DR.

9 Aug . 2015

Kikosi cha taifa stars ambacho kitaivaa Msumbiji jumapili wiki hii.

18 Jul . 2014

kikosi cha taifa stars kikiwa safarini nje ya nchi.

30 Mei . 2014

Rais Kikwete akiwa na Mbwana Samata (Kulia) na Thomas Ulimwengu (Kushoto) alipokuwa ziarani nchini DRC

29 Mei . 2014

Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars muda mfupi kabla ya kuanza kwa pambano dhidi ya Zimbabwe

18 Mei . 2014

Wachezaji Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wakifanya mazungumzo na shabiki mmoja wa soka baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa malimu nyerere DSM, Mwezi Machi mwaka huu.

17 Mei . 2014

Mbwana Samata (Kushoto) na Thomas Ulimwengu (Kulia) wakishangilia bao katika moja ya michezo ya Taifa Stars

15 Mei . 2014