Mwanadada Serena Willams akishangilia baada ya kushinda fainali ya Wimbledon.

9 Jul . 2016

Mcheza tenisi Sam Querrey aishangilia baada ya kumchapa Novak Djokovic.

2 Jul . 2016

Riziki Salum kocha wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania.

2 Jul . 2016

kinda Alexander Zverev akishangilia baada ya kumchapa Federer.

19 Jun . 2016

wachezaji wa tenisi kwa walemavu wakicheza.

16 Jun . 2016

Garbine Muguruza akishangilia baada ya kumshinda Serena Williams katika fainali ya French Open.

4 Jun . 2016

Wachezaji wa timu ya tenisi ya walemavu ya Tanzania wakipeana mikono baada ya mchezo wao.

2 Jun . 2016

Wachezaji wa mchezo wa tenisi kwa walemavu wakipeana mkono katika moja ya michezo yao.

11 Mar . 2016

Baadhi ya wachezaji wa tenisi kwa walemavu wakiwa katika mafunzo.

27 Dec . 2015

Moja ya wachezaji wa mchezo wa tenisi kwa walemavu akifanya mazoezi jijini Dar es Salaam.

5 Sep . 2015

Wachezaji wa timu ya walemavu wa Tanzania wakijifua jijini Dar es Salaam.

16 Aug . 2015

Baadhi ya wachezaji wa tenisi kwa walemavu [wheel chair tennis] wakichuana jijini Dar es Salaam

28 Jun . 2015