Wanamichezo wa michezo ya sanaa za mapigano wakionyesha umahili wao.
Baadhi ya wanamichezo wa mchezo wa Wushu Kun fu wakionyesha umahiri wao.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013