Wanamichezo wa michezo ya sanaa za mapigano wakionyesha umahili wao.
Baadhi ya wanamichezo wa mchezo wa Wushu Kun fu wakionyesha umahiri wao.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk