Rais Magufuli akifanya Mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda(picha na Maktaba).
Balozi wa Uswis nchini Tanzania Mhe. Florence Tinguely Mattl akisaini kitabu.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016