Mbunge wa Mbeya Vijijini Bw. Oran Njeza akiwa katika moja ya shughuli zake za ukulima. Mbunge huyo ni mtaalamu wa kimataifa wa masuala ya benki na pia ni mfanyabiashara aliyewekeza kwenye shughuli za kilimo.
AS Adema dhidi ya SO l'Emyrne
Jean-Jacques Ndala - Mwamuzi kutoka DR Congo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Avemalia Semakafu na Mwalimu idara ya elimu ya sanyansi nchini China He yozhou.
Wachimbaji wadogo wa madini. Picha haihusiani na habari