Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk