Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi nimtoto wa 4 katika familia ya watoto 4 Nina kaka NDIO na dada NDIO
Ninaishi MAMA na DADA
Mtaani kwangu najulikana kwa DANCE
Mimi nimesoma mpaka FORM 2
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KUFUMA SOFA