Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Sheikh Husein Maneno Simo
Mhe. Stanslaus Nyongo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi akizungumza Jambo wakati wa uwasilishaji wa randama ya Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania- TACAIDS kwa Mwaka wa fedha 2024/2025 ya katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge Jijini Dodoma
Jenerali Muhoozi Kainerugaba Mkuu mpya wa Majeshi (CDF) wa Uganda
Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mwenye fulana rangi ya njano akimsikiliza mfanyabiashara
Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Jovice
Mtoto aliyeunguzwa mikono kwa maji ya moto na mama ambaye ni jirani yake
Mtoto wa kiume (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa miaka 16 mkazi wa Buguku ambaye amelawitiwa
Scholastica Kabonge -Ofisa wa masuala ya ulinzi shirikishi na usalama kutoka GGML (katikati), akiwapatia ushauri na uzoefu wake wa kitaaluma wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Geita kama sehemu ya Mpango wa GGML Mentorship Programme.
Barabara ya Songea – Makambako km 295