Alipofika nyumbani hapo Rais Magufuli aliendesha ibada ya kuwatia moyo familia ya Abbas Tarimba ambaye amepoteza watoto wake wawili.
Mapema leo asubuhi Mhe rais Magufuli ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es salaam, katika Misa Takatifu ya Sherehe ya Ekaristi Takatifu kanisani hapo.
Kujionea zaidi tazama video hapo chini.