
Lengai Ole Sabaya
Kesi hiyo imeahirishwa leo Mei 31, 2022, na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama Hakimu Mkazi mkoa wa Arusha Fadhili Mbelwa.
Hukumu ya leo dhidi ya Sabaya na wenzake sita, ilitarajiwa kuamua hatima ya kiongozi huyo wa zamani na wenzake endapo wataachiwa huru, kwa kuwa baada ya kesi hii hawana nyingine iliyosalia mahakamani.