
Zawadi hiyo wameitoa baada ya wananchi hao kushuhudia utiaji wa saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji wa kata ya Mtyangimbole
Wananchi hao wameeleza kuwa tangu dunia iumbwe hawajawahi kupata maji safi na salama hivyo ujio wa mradi huo utaondoa adha hiyo ya upatikanaji wa maji katika kata hiyo