
Lionel Messi akionekana kwenye matukio tofauti tofauti likiwemo tukio la kumuonesha akiwa anajiandaa kuingia uwanjani kuchukua nafasi ya Neymar dakika ya 66 kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na PSG, PSG iliposhinda kwa mabao 2-0 yote yakifungwa na Kylian Mbappe.

Uwanja wa ndege wa Muscat Oman

Dawa za Tiba asilia zikiwa Dukani tayari kwa matumizi.

Mkurugenzi Tume ya Tehama Samson Mwela (aliyesimama) akitoa mafunzo maalum kwa watangazaji na waandishi kutoka kituo cha East Africa Television na East Africa Radio.

Mzee Peter Itunga, mkazi wa eneo la Mwananchi Tabata Dar es salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula.

Picha ya lori kutoka eneo la ajali