Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametoa maagizo hayo leo Oktoba 4, 2022, Jijini Dodoma kwenye jukwaa la mwaka la mashirika yasio ya kiserikali na uzinduzi wa mkakati wa kitaifa wa uendelevu wa mashirika yasiyo ya kiserikali NSNS.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu Majaliwa, ameyaagiza mashirika kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kuchukua changamoto zinazotolewa na wananchi na kuzipatia majawabu.