
Daniel Joseph
Akizungumza wakati wa Shangwe za Krismasi, Daniel alisema kwamba hapendi watu wamuonee huruma, na anachokihitaji kwa sasa ni msaada kwa ajili ya kupata pesa ili aweze kuwa na sehemu ya kutengeneza sofa na kuanza maisha sababu analala kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam.
Mwonekano wa sura ya Daniel umepatikana baada ya kufanyiwa oparesheni mara 37, na namba ya kumsaidia ni 0769 228 230