
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo.
Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 24, 2021, na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo, na kupiga marufuku wazazi kuwapeleka watoto wao kwenye majumba ya starehe na vileo.
Aidha, madereva pia wamepigwa marufuku kuendesha gari wakiwa wamelewa na mwendokasi na kwa wale watakaobainika kufanya hivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.