
Dkt. Luhende alikuwa Naibu wakili Mkuu wa serikali na anachukua nafasi ya Bwana Gabriel Malata ambaye aliteuliwa kuwa Jaji wa mahakama kuu
Naye Bi Mwaipopo alikuwa Wakili Mkuu wa serikali katika Ifisi ya mMwanasheria Mkuu wa Serikali na anachukua nafasi ya Dkt. Luhende ambaye ameteuliwa kuwa wakili mkuu wa serikali
Uteuzi huo umeanza leo Oktoba 09/2022