Jumatatu , 17th Apr , 2023

Shabiki wa Yanga aliyejulikana kwa jina la Jane, mkazi wa Kata ya Bwilingu wilayani Chalinze mkoa wa Pwani, amepoteza maisha wakati akiangalia mchezo wa jana wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga.

Baadhi ya wananchi waliofika msibani kwa Jeni

Imeelezwa kuwa alipatwa na presha na kuanguka ghafla.

Mechi ya jana Aprili 16, 2023, Simba waliondoka na ushindi wa magoli mawili kwa nunge dhidi ya Yanga.