
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma, ACP Martini Otieno
Waliouawa ni Dominick Kigula ambaye ni dereva wa pikipiki (Bodaboda) na mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Esta
Mganga mkuu wa Hospitali ya mkoa wa Dodoma, Ibenze Ernest, amesema miili ya waliowawa imepokelewa na kuhifadhiwa hospitalini hapo.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma, ACP Martini Otieno, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo huku akisema wanaendelea na jitahada za kumpata mtuhumiwa.