
Msanii wa singeli Balaa Mc
Akifunguka kupitia EATV & EA Radio Digital, kuhusiana na hilo Balaa Mc amesema aliogopa kupost kwa alihofia kufuatwa nyumbani na kikosi hicho ila baadaye akagundua kuwa ilikuwa ni sapoti na watu kukubali anachokifanya.
"Nilivyoona ile clip niliogopa kwanza niliwambia hadi meneja wangu, niliogopa kwamba nisije nikapost halafu wakanifuata nyumbani ila nimegundua wao wamekubali kitu ambacho nimekifanya, kuna mmoja kati ya wale kwenye kile kikosi alinicheki, nikakutana naye na tukaongea ninawashukuru sana" amesema Balaa Mc
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.