Kulia ni Shatta Wale kushoto Burnaboy
Shatta Wale ametoa kauli hiyo baada video iliyokuwa ikimuonyesha Burnaboy anatupa pesa kwenye moja ya sehemu za starehe akiwa anakula bata.
"Watu matajiri hawajionyeshi wanaishi kwa kile walichonacho lakini watu masikini wanataka kumuonyesha kila mtu kwamba wana kitu wakati ndani ya moyo wao wanajua hawana, haya niambie sasa nani anakosea hapo, inauma".