
Sadio Mane
Kwa mujibu ya taarifa ya kocha wa timu ya Liverpool, Jurgen Kloop, Msenegali huyo, anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa goti, na itamchukua muda mrefu kupona.
Mane hadi sasa, ameifungia Liverpool, mabao, 13, tangu ajiunge na majogoo hao wa Anfield, akitokea Southampton majira ya kiangazi mwaka uliopita.