Jumatatu , 18th Sep , 2023

Mwanamke mmoja kati ya watatu waliomshataki Antony kwa unyanyasaji na kushambuliwa, ameondoa rasmi mashtaka yake. Inaaminika aliyejitoa ni Ingrid Lana aliyedai kufanyiwa Unyanyasaji Oktoba 2022.

Antony amesimamishwa na klabu yake ya Manchester United ili kupisha uchunguzi unaofanywa na askari wa Brazil nyumbani kwao, pamoja na England anapoishi hivi sasa