![](http://www.eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/12/05/WhatsApp Image 2023-12-05 at 9.20.10 PM.jpeg?itok=I4Om5Nzg×tamp=1701802659)
Wakala wa Ranga Chivaviro, Herve Tra Bi, amesema kuwa “Ranga haendi popote kwa sasa. Ana mkataba wa miaka miwili na Kaizer Chiefs. Tunahitaji kuheshimu mkataba wake na Chiefs,” .
Hii ni baada ya tetesi kadhaa kuvuma zikidai kwamba Ranga tayari amekamilisha usajili wa mkopo kujiunga na Wananchi januari 2024.