Hayo yamebainishwa na Kamati hiyo iliyokutana jana Jumamosi katika kikao cha dharura, baada ya viongozi wake wa ngazi za juu kukosa dhamana kwenye kesi yao iliyokuwa ikiendeshwa katika Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam, juu ya makosa yao yanayowakabiri ya kutakatisha fedha kinyume cha sheria.
Ujumbe mwenyewe kutoka kwa kamati ya Simba.



