Makao Makuu ya TFF
TFF imewataka watu hao kuacha kusambaza vipeperushi vyenye nembo ya shirikisho, ikiita kitendo hicho kuwa ni matumizi mabaya ya nembo ya taasisi.
Taarifa hiyo imesema kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa atakayebainika kutumia nembo ya shirikisho katika shughuli hiyo.
Taarifa nzima ya TFF kuhusiana na onyo hilo hii hapa chini.