Mmoja wa machinga akilia mara baada ya kuvunja kibanda chake
Machinga hao ambao walioamua kutii agizo hilo huku wakisema hawajui wapi wanaelekea baada ya maeneo waliyopangiwa kujaa, kilio chao wanakielekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Hapo jan Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel jana Oktoba 21, 2021, alitoa muda wa saa 24 kwa wafanyabiashara ndogo ndogo wa eneo hilo kuondoka na kwenda kwenye maeneo rasmi waliyotengewa.