Dkt. Raphael Chegeni
Taarifa hiyo imetolewa hii leo Julai 31, 2022, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, na kusema Meja Jenerali Mzee, ataapishwa kesho Agosti Mosi, 2022.
Meja Jenerali Suleiman Mzee, alikuwa kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza.