Polisi Arusha wateketeza ekari 4 za bangi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kuteteketeza Ekari Nne na nusu za Bhangi, katika maeneo ya kisimiri juu, kitongoji cha Luwai na Jangwale Katika Halmashauri ya wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha. Read more about Polisi Arusha wateketeza ekari 4 za bangi