"Kuhusu wabunge 19 hatuiingilii Mahakama" - Spika

Baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na CHADEMA na kulia ni Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, amesema hawezi kutangaza kuwa nafasi 19 za wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA ziko wazi, hadi hapo Mahakama itakapotoa uamuzi kwani Bunge haliwezi kuingilia mchakato wa Mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS