Wanafunzi 76 wanasurika kifo Pwani

Bweni la shule ya sekondari ya wasichana Mkuza lililoungua

Wanafunzi 76 katika shule ya sekondari ya wasichana Mkuza iliyopo Kibaha mkoani Pwani, inayomilikiwa na kanisa la KKKT wamenusurika kupoteza maisha baada ya moja ya bweni la shuleni hapo kuteketea kwa moto uliozuka usiku wa kuamkia leo Mei 16, 2022, wakati wanafunzi hao wakiwa katika ibada

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS