Lewandowski amefunga mabao 49 katika michezo 45 kwenye mashindano yote msimu huu.
Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani imethibitisha kuwa mshambuliaji wao Robert Lewandowski ameomba kuondoka klabu hapo. Mkurugenzi wa ufundi wa klabu hiyo Hasan Salihamidzic amethibitisha.