"Rais ameona changamoto ya mafuta"- Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kuwa serikali inaendelea kutafuta njia mbadala ambazo zitapunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS