Panya road wajeruhi 19 Dar es Salaam Baadhi ya wananchi waliojeruhiwa na Panya road Vijana wanaodhaniwa kuwa ni Panya road wamewakata mapanga watu 19 katika mtaaa wa Mtongani, Kata ya Kunduchi mkoani Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo Mei 2, 2022. Read more about Panya road wajeruhi 19 Dar es Salaam