Wanahabari watakiwa kupata elimu ya ukatili

Katibu Mkuu wa Katiba na Sheria, Bi. Mary Makondo amewataka wahariri  na waandishi wa habari kupata mafunzo maalumu kuhusu kuripoti taarifa zinazohusiana na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii zetu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS