Simba kuwakosa nyota 7, kesho dhidi ya Biashara
Kikosi cha mabingwa wa Tanzania bara Simba SC kitawakosa wachezaji takribani 7 kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo majeruhi kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Biashara United utakaochezwa kesho Machi 4, 2022 uwanja wa Benjamini Mkapa.

