CCM yaanza mchakato kumpata Spika wa Bunge

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Shaka Hamdu Shaka

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mchakato wa kumpata spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao utaanza Januari 10, 2022 kwa wenye nia kuchukua fomu, na kuhitimishwa mwisho wa mwezi kwa wabunge wa chama hicho kupiga kura za kumpitisha mgombea. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS