Mzunguko wa pili Ligi kuu Tanzania bara kuanza leo

(Mchezaji wa Namungo Shiza Kichuya akijaribu kumpita mlinzi wa Geita Gold.)

Mzunguko wa pili wa ligi kuu soks Tanzania bara unaanza rasmi jioni ya leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Nyankumbu mkoani Geita ambapo the pride of geita, Geita gold FC watawakaribisha wauwaji wa kusini Namungo fc kutoka Ruangwa mkoani Lindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS