Mzunguko wa pili Ligi kuu Tanzania bara kuanza leo
Mzunguko wa pili wa ligi kuu soks Tanzania bara unaanza rasmi jioni ya leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Nyankumbu mkoani Geita ambapo the pride of geita, Geita gold FC watawakaribisha wauwaji wa kusini Namungo fc kutoka Ruangwa mkoani Lindi.

