Serikali yatoa neno Watanzania walioko Ukraine

Bendera ya nchi ya Ukraine

Wizara ya Mambo ya Nje imesema kuwa hadi sasa hakuna Mtanzania aliyepata madhara yoyote kufuatia hali inayoendelea nchini Ukraine, na kuwataka waendelee kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kufuatilia usalama wao kwa kushirikiana na mamlaka mbalimbali za Ukraine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS