Torres, kuchukua mikoba ya Aguero FC Barcelona

Ferran Torres

FC Barcelona inaripotiwa inamuwinda mshambuliaji wa Manchester City Ferran Torres kama mbadala wa Sergio Kun Aguero aliyestaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 33 kutokana na matatizo ya Moyo, baada ya kushauriwa na Madaktari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS