CR7 kuendeleza ubabe kwa Atletico Madrid UCL Leo?

(CR7 na Kikosi cha Atlético Madrid)

Manchester United inataraji kushuka dimbani saa 5:00 Usiku wa Leo Jumatano 23, 2022 kucheza dhidi ya Atletico Madrid ya Uhispania kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa mtoano hatua ya 16 bora Michuano ya klabu bingwa Barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS