TMA yatoa angalizo la mvua kwa mikoa hii

Mvua

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imetoa angalizo la mvua kubwa kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa, Dar es Salaam, Pwani ikijumuishwa na visiwa vya Mafia, Ruvuma, Morogoro, Njombe, Lindi na Mtwara itakayonyesha hii leo Februari 23, 2022. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS