Ja Morant na Antetokounmpo waweka rekodi NBA

Ja Morant mchezaji wa Memphis Grizzlies

Mchezaji nyota wa Memphis Grizzlies Ja Morant amevunja rekodi yake aliyoweka siku mbili zilizopita ya kufunga alama nyingi kwenye mchezo mmoja wa NBA baada ya kufunga alama 52 alfajili ya leo kwenye mchezo dhidi ya San Antonio Spurs, mchezo ambao Grizzlies imeshinda kwa 118-105.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS