Aliyemuua dada yake alishawahi kuua
Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro limesema kuwa kijana Shomari Malima, aliyemuua kwa kumcharanga na mapanga dada yake aitwaye Faidhat Ibrahimu (13) kutokana na ugomvi wa kifamilia, ameshawahi pia kumuua bibi yake kutokana na imani za kishirikiana ambazo zimemfanya asishiriki tendo la ndoa.

