EPL Yarejea, Covid-19 yasitisha mechi ya Man Utd
EPL inarejea tena usiku wa leo Disemba 14, 2021 mzunguko wa 17 kwa michezo miwili kuchezwa baina ya Norwich City dhidi ya Aston villa saa 4:45 usiku ilhali Manchester City dhidi ya Leeds United saa 5:00 usiku.